Sunday 9 June 2013

Matukio na baadhi ya washindi wa tuzo za Kill - 2013

Kala Jeremiah akipokea tuzo zake
Gardner akipokea tuzo ya Msanii Bora wa Kike
kwa niaba ya mkewe Lady Jaydee
Ommy Dimpoz kwa mara nyingine tena
Tuzo ya Video Bora ya Mwaka....Baadae!
Mashujaa Band wakifurahia Tuzo ya Band Bora
Wema akimkabidhi tuzo Dimpoz
Producer Walter akipokea tuzo
Mpoto na Ditto wakipokea tuzo
Dhabith Abdul
Chalz Baba akiwa na Tuzo zake!
Ben Poul
Ben Pol na tuzo ya Mtunzi Bora wa Mashahiri Bongo Fleva

MC wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 
Bw. Zembwela
Alli Kiba in the building
Dj Fetty in the building
Mzee Zoro akitoa show
Sele kama kawa
Josee Mara
Snura
Barnaba akitumbuiza
Amin na Linnah
GK

ORODHA KAMILI WA WASHINDI WA TUZO HIZO
1. Msanii Bora wa Kiume ni Diamond!
2. Msanii Bora wa Kike ni Lady Jaydee.
3. Wimbo Bora RnB ni Rama Dee na Kuwa na Subira.
4. Wimbo Bora wa Mwaka Hip Hop ni Dear God wa Kala Jeremiah.
5. Wimbo Bora Afrika Mashiriki ni Jose Chameleone na Valu Valu
6. Wimbo Bora wa Mwaka Hip Hop ni Ney wa Mitego na wimbo wa Sema Nao.
7. Video Bora ya Mwaka ni Baadae ya Ommy Dimpoz.
8. Mtunzi Bora wa Mashairi Hip Hop ni Kala Jeremiah.
9. Msanii Bora wa Hip Hop ni Kala Jeremiah.
10. Wimbo Bora wa Ragga/Dancehall-Dabo na wimbo wa Predator!
11. Rapa Bora wa Band ni Fagasoni.
12. Msanii Bora wa Kiume Band ni Chalz Baba.
13. Msanii Bora wa Kike Band ni Luiza Mbutu.
14. Mtayarishaji wa Wimbo Bora wa mwaka Band ni Amoroso.
15. Wimbo Bora wa Bendi ni Mashujaa Band na wimbo wa Risasi Kidole.
16. Msanii Bora Anayechipukia ni Ali Nipashe.
17. Wimbo Bora wa Bongo Pop ni Ommy Dimples na Vanessa Mdee Me and You
18. Msanii Bora wa Kike Bongo Fleva ni Recho

19. Msanii Bora wa Kiume Bongo Fleva ni Diamond.
20. Mtayarishaji Bora wa Mwaka Bongo Fleva ni Man Water.
21. Mtunzi Bora wa Mashahiri ya Bongo Fleva ni Ben Pol.
22. Wimbo Wenye Vionjo vya Asili ni Chocheeni Kuni wa Mrisho Mpoto.
23. Msanii Bora wa Kike Taarab ni Isha Mashauzi
24. Msanii Bora wa Kiume Taarab ni Mzee Yusuf.
25. Mtayarishaji wa wimbo wa mwaka wa Taarab ni Enrico.
26. Mtunzi Bora wa Mashahiri ya Taarab ni Thabit Abdul

No comments: