HII NDIO STYLE WAITUMIAYO WAJANJA
WA JIJI KUWAKOMESHA WATOZA USHURU
WA MAEGESHOYA MAGARI
Hapa jamaa akifungia gari lake kwa umakini ili
asisumbuliwe na wale jamaa wa kutulipisha ushuru


Hapa kashamaliza, na kashasepa muuuuuda...
kasheshe kwa wagambo wasumbufu sasa
PICHA KWA HISANI YA FAN KUTOKA FB
(Innocent Kilonga) shukrani kaka
WA JIJI KUWAKOMESHA WATOZA USHURU
WA MAEGESHOYA MAGARI

asisumbuliwe na wale jamaa wa kutulipisha ushuru

Kama kawa anaendelea kutupia mnyololo na kufuli

Hapa kashamaliza, na kashasepa muuuuuda...
kasheshe kwa wagambo wasumbufu sasa
PICHA KWA HISANI YA FAN KUTOKA FB
(Innocent Kilonga) shukrani kaka
No comments:
Post a Comment