Friday 21 October 2011

JIANDAE KWA KITABU CHA MH.SUGU

 
 MUZIKI NA MAISHA
"FROM THE STREET TO PARLIAMENT"
Ni kitabu kitakachohusu maisha yake ya awali na hivi sasa alipo,
pia kitaelezea juu ya harakati zake kuhusu musiki wa bongoflava.
Kaa tayari kwa kujipatia kopi hiyo. Kitakuwa mtaani kuanzia mwezi Novemba

No comments: