Wednesday 29 July 2015

Wachina wadakwa DSM wakifyatua maji feki

Wachina wakamatwa jijini Dar es salaam kwa kutengeneza maji pasipo kuwa na kibali cha kazi hiyo...wachina hao wanaoishi nchini kwa muda sasa wamedakwa na chupa mbalimbali za maji zikiwemo zenye nembo ya UHAI na Kilimanjaro na kujaza chupa hizo na kuzipeleka sokoni zikiwa na nembo hizo...ama kweli watanzania tunaishi kwa nguvu za Mungu tu!! Vitu feki vinaongezeka kila siku.

No comments: