Tuesday 28 July 2015

Picha: Lowasa akikabidhiwa kadi ya CHADEMA

Leo ndio ilikua siku ambayo takribani watanzania wengi wameshindwa kuamini kile alichokisema aliyekuwa waziri mkuu na pia mgombea urasi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi, Mh. Edward Lowasa" pale alipotimiza yale aliyoahidi kipindi anatangaza nia ya kugombea urasi, kuwa endapo hatapitishwa kwenye nafasi ya kuwa mgombea basi atakihama chama hicho na kujiunga na chama pinzani....
Lowasa ametimiza hayo majira ya saa 10 jioni pale alipotangaza rasmi kukihama chama cha CCM na kujiunga na CHADEMA...

Picha baadhi zikionesha jinsi Lowasa alivyopokelewa na baadhi ya viongozi wa UkAWA na alivyokabidhiwa kadi ya CHADEMA.

No comments: