Sunday 13 November 2011

BAADHI YA MATUKIO YA STRE8 MUSIC FESTIVAL INTER COLLEGE 2011@ DODOMA

Mtu mzima Juma Nature akikinukisha na wanae "Dollo na Rich one"
msanii kutoka kenya "Nameless" akikonga nyoyo wana wa Dodoma
Msanii anayeibeba Sinza "Man Sulee" kama kawa akimpa support Jay Moe
 
Mizuka kama kawa huwa haikosekani jombaa
 
 Mtu mzima Diamond akiwapa ladha
 
Young Babelon or Mr. Blue akikisanua
  
Bagdady akiwa na Barnaba
 
umati wa watu walioudhulia show
P -Unit wakiburudisha jukwaani
 
Kama kawa tukikodolea show
  
Hapa wana wakishow luv
 
One memory to me since we made stories with Byser
@ 84 club

No comments: