Tuesday 6 May 2014

Orodha ya washindi wa KTMA-2014

http://3.bp.blogspot.com/-qnckPDpaPHI/UzFlLS0txRI/AAAAAAAAAiM/Zm71kA4COSQ/s1600/Kili.png
 Wimbo bora wa mwaka
Number One – Diamond 

Mwimbaji bora wa kike – kizazi kipya
Lady Jaydee

Muimbaji Bora wa kiume – Kizazi Kipya
Diamond

Muimbaji bora wa kike taarab
Isha Ramadhan

Muimbaji Bora wa kiume – Taarab
Mzee Yusuf

Muimbaji bora wa kiume – Bendi
Jose Mara

Muimbaji Bora wa Kike – bendi
Luiza Mbutu

Msanii Bora wa Hip Hop
Fid Q

Msanii Bora Chipukizi Anayechipukia
Young Killer

Rapa Bora wa Mwaka – Bendi
Furguson

Mtumbuizaji bora wa kike muziki
Isha Ramadhani

Mtumbuizaji bora wa kiume wa muziki
Diamond

Mtunzi Bora wa Mwaka – Hip Hop
Fid Q

Video Bora ya Mwaka
Number One – Diamond

Bendi ya Mwaka
Mashujaa Band

Kikundi cha Mwaka cha Taarab
Jahazi Modern Taarab

Kikundi cha mwaka cha kizazi kipya
Weusi

Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Taarab
Enrico

Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Kizazi kipya
Man Walter

Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Bendi
Amoroso

Mtunzi Bora wa Mwaka – Taarab
Mzee Yusuf

Mtunzi Bora wa Mwaka – Kizazi Kipya
Diamond

Mtunzi Bora wa Mwaka – Bendi
Christian Bella

Wimbo bora wa Kiswahili – Bendi
Ushamba Mzigo – Mashujaa Band

Wimbo bora wa reggae
Niwe na Wewe – Dabo

Wimbo bora wa Afrika Mashariki
Tubonge – Jose Chameleone

Wimbo bora wa Afro Pop
Number One – Diamond

Wimbo bora wa Taarab
Wasiwasi Wako – Mzee Yusuf

Wimbo bora wa Hip Hop
Nje ya Box – Nick wa Pili f/ Joh Makini & G-Nako

Wimbo Bora wa R&B
Closer – Vanessa Mdee

Wimbo Bora wa Kushirikiana
Muziki Gani – Nay wa Mitego ft Diamond

Wimbo bora wa ragga/dancehall
Nishai – Chibwa f/ Juru

Wimbo bora wa zouk /rhumba
Yahaya – Lady Jaydee

Hall of FAME Award
Hassan Rehani Bichuka
Masoud Masoud & TBC Taifa

No comments: