Thursday 13 March 2014

Mr Flavour aonesha kufuli yake mtandaoni

Mkali kutoka nchini Nigeria ambaye alitamba na kibao cha "Nwa Baby", Flavour Nabania maarufu kama Mr. Flavour ameamua kuweka mtandaoni kufuli yake "Boxer" kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter. Msanii huyo amewashangaza sana wadau na mashabiki wake kwa kitendo hicho alichokifanya kwani ni wazi kuwa amedhamiria na si zile picha za kutupiwa na watu kwa maana ya kuibiwa mahali au zilikuwa ni personal use.

No comments: