Sunday 17 November 2013

Diamond azidi kula bata Nigeria

Msanii wa kizazi kipya, Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platnum....ameonesha kupendezwa na mazingira ya Nigeria alikokwenda kwa muda kwa ajili ya masuala yake ya kikazi...moja ikiwa kama mualiko aliopewa na msanii wa nchini humo, Davido baada ya kutua bongo na kufanya nae wimbo wa Number One remix. Diamond amepewa mualiko wa nguvu kwa kuweza kutembezwa sehemu mbalimbali za jiji la Lagos nchini Nigeria na wenyeji wake akiwemo Davido mwenyewe na Iyanya.

Leo usiku Diamond amepost picha akiwa kwenye harusi ya mwanamuziki kutoka kundi la P-square, Peter Okoye akiwa na Iyanya na baadhi ya wadau wakubwa nchini Nigeria.

12 comments:

Anonymous said...

Hivi vimguo anavyovaa naseeb si vya akina dada hivi? Au macho yangu hayaoni ndugu zangu?.

Anonymous said...

hivi kanguo kama haka si nimeshawahi kuona Wema na Jokate nao wamekavaa.. mmmmmmmh!.. kweli ustaa kazi

Anonymous said...

Mhhh haka kavazi noma

Anonymous said...

Unajua ndungu zangu lazima tuamke watanzani! Huyu diamond mimi binafsi nina wasi wasi nae na huku kukata viuno sijui kinachoendelea.

Unknown said...

Kasuraili gani sasa haka aaaaah,

Anonymous said...

Hivi viguo vya kike!!!.

Anonymous said...

we umechoka kumgonga mama ako acha kuwashwa mapumbu/hilo kuma nguruwe mkubwa wewe

Anonymous said...

we mxenge do ur thngs

Anonymous said...

Nilianza kumfira mama ako ntamalizia kwako mkundu huo.

Anonymous said...

Kuma ya mama yako shamba huko.

Anonymous said...

Diamond mvaa skin za kike.

Anonymous said...

Mtu akitoka kwenye familia ya kimasikini akija kuanza kupata vihela huwa tuna matatizo sana make tunataka kila mtu atujue siai akina nani!huo wote ni ulimbukeni tu na ushamba uliopitiliza.