Habari hii kwa hisani kubwa ya Unique Entertainment blogspot
   Baadhi  ya washiriki wa shindano la mitindo lililojulikana 
kama Uni Fashion  Bash kutoka vyuo mbalimbali vya 
mjini Dodoma wakicheza wakati wa  utambulisho 
lililofanyika Royal Village Dodoma jana.

  Baadhi  ya washiriki wa shindano la mitindo Uni Fashion 
kwa upande wa wanaume


  Mshindi  wa kwanza wa shindano hilo, Respicious Denis (kushoto)
kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)  akipokea zawadi yake ya 
shilingi laki tano(5,000,000)kutoka kwa mwakilishi wa TBL 
 kanda ya kati John Tesha, baada ya kutangazwa mshindi katika 
shindano  hilo lililofanyika ukumbi wa Royal Village mjini Dodoma jana.

  Baadhi  ya washiriki wa shindano la ubunifuwa mavazi 
lililojulikana kwa Uni  Fashion Bash kutoka vyuo
 mbalimbali vya mjini Dodoma wakitambulishwa  jukwaan 

  Mshindi  wa kwanza wa ubunifu wa mavazi wa 'UNI fashion Bash' 
Irene  Rwakatale (kushoto) akipokea zawadi yake ya 
shilingi laki saba(7,000,000)  kutoka kwa Meneja wa Redds, 
Victoria baada ya kutangazwa mshindi wa  shindano hilo jana.


  Baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo malimbali 
vya mjini Dodoma wakishangilia wakati wa shindano hilo.

 Mwana FA, akiwapa radha madent wakati wa shindano hilo.

Mwana FA, akipagawisha na mmoja wa shabiki wake 
jukwaani wakati wa onyesho hilo.
No comments:
Post a Comment