Monday 21 November 2011

UDOM WANG'ARA KWENYE UNI-FASHION 2011 DODOMA

Habari hii kwa hisani kubwa ya Unique Entertainment blogspot

  Baadhi ya washiriki wa shindano la mitindo lililojulikana 
kama Uni Fashion Bash kutoka vyuo mbalimbali vya 
mjini Dodoma wakicheza wakati wa utambulisho 
lililofanyika Royal Village Dodoma jana.
  Baadhi ya washiriki wa shindano la mitindo Uni Fashion 
kwa upande wa wanaume
  Mshindi wa kwanza wa shindano hilo, Respicious Denis (kushoto)
kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) akipokea zawadi yake ya 
shilingi laki tano(5,000,000)kutoka kwa mwakilishi wa TBL 
kanda ya kati John Tesha, baada ya kutangazwa mshindi katika 
shindano hilo lililofanyika ukumbi wa Royal Village mjini Dodoma jana.
  Baadhi ya washiriki wa shindano la ubunifuwa mavazi 
lililojulikana kwa Uni Fashion Bash kutoka vyuo
mbalimbali vya mjini Dodoma wakitambulishwa jukwaan
  Mshindi wa kwanza wa ubunifu wa mavazi wa 'UNI fashion Bash'
Irene Rwakatale (kushoto) akipokea zawadi yake ya 
shilingi laki saba(7,000,000) kutoka kwa Meneja wa Redds, 
Victoria baada ya kutangazwa mshindi wa shindano hilo jana.
  Baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo malimbali 
vya mjini Dodoma wakishangilia wakati wa shindano hilo.
Mwana FA, akiwapa radha madent wakati wa shindano hilo.
Mwana FA, akipagawisha na mmoja wa shabiki wake 
jukwaani wakati wa onyesho hilo.

No comments: