![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-ual9m3MOkMquk47aj9eehiQ0ByRZMOo7Tfwvmngre3OZ3GfXur9AGx6Z32ptaVLj_MK2h-k3HlEqLs9Ysl0La7bHH-ulUDpM9VgUGrZ7J0Euf2eFYBxkz-d58QxB9Bk5JFf3YwhhrGD2/s400/ay.jpg)
Msanii wa bongo fleva Ambwene Yesaya almaarufu kama AY ndio msanii pekee kutoka TANZANIA (East Africa) aliyenyakuwa tuzo ya Channel O Music Video Award kwa mwaka huu 2012 katika kipengele cha MOST GIFTED AFRICAN EAST VIDEO OF THE YEAR. Video iliyochukuwa tuzo hiyo ni I DON'T WANT TO BE ALONE akiwa amewashirikisha Sauti Sol kutoka Nairobi Kenya .
PONGEZI KWA MTU MZIMA AY KWA KUITANGAZA VYEMA TANZANIA
No comments:
Post a Comment