washiriki walioweza kuingia top 5 ni pamoja na Msami Nkwabi, Salmah kutoka Zanzibar, Wababa, na Walter Chilambo.
Kwa kuonesha kipaji alichonacho kijana Walter aliweza kuishangaza Tanzania na kuweza kutimiza ndoto zake kwa kuibuka mshindi wa EPIQ BONGO STAR SEARCH 2012 na kunyakuwa kitita cha Tshs 50million.

Walter akikabidhiwa kitita cha 50mil.

Hii ndio iliyokuwa top 5

Majaji wakifuatilia show kwa umakini sana

Walter akiimba na Ben Pol

Mshindi #3 Wababa akifanya collabo na Mwasiti

Linah na Amin wakitumbuiza kwenye mashindano hayo

Walter alipoimba na Ditto, naweza sema ndio moja ya collabo iliyofanyapoa kwenye mashindano hayo

mshindi #2 Salmah toka Zanzibar akifanya collabo na Linex
"Picha kwa hisani ya blogs mbalimbali"
No comments:
Post a Comment