Wednesday 23 November 2011

JIGGALA: NEW ARTIST FROM MORO TOWN

 
JIGGALA/GY Msanii toka pande za Morogoro 
anayekuja vizuri kwenye game ya bongo flavour,
aliwahi fanya kazi na maproduza mahili hapa nawazungumzia 
Mika Mwamba na P Funk Majani miaka ya 2002.
Jiggala kwenye miaka ya nyuma aliwahi kuwa kundi moja na 
msanii maarufu hapa bongo "Squezer" wakiunda kundi la 
Easy Domp Camp lililokuwa na maskani yake huko 
Mji kasoro "Morogoro" na likisimamishwa na wasanii kadhaa akiwemo 
Jiggala ambapo kipindi hicho anajiita GY, Squezer na Nash G ambaye hivi sasa ni
mtangazaji wa redio Abood fm ya moro town.
Pia Jiggala aliwai toa ngoma kadhaa ambazo hazikuonesha mafanikio 
kwa upande wake japo zilikuwa kali, Alitoa ngoma iliyokwenda kwa jina la 
PARTY YA LEO aliyoifanya kwa super producer P Funk majani akimshirikisha BX.
Kwasasa kaja kivingine kabisa na ngoma inayokwenda kwa jina la Queen Waley.
Sikiliza ngoma hapa chini....




No comments: