Wednesday 23 November 2011

SHILOLE KUJA NA “MAJIRANI LAWAMA”…!!

MISS SHILOLE 
Msanii wa Bongo movies Zuweza Mohamed anayefahamika kama Shilole, ameamua kugeukia katika uimbaji na tayari ameshatunga na kurekodi wimbo mmoja ambao utafahamika kama “Majirani Lawama”. Amesema wimbo huo ameshautengenezea video na upo katika maadhi ya Mduara, ndani ya wimbo huo kawashirikisha wasanii wenzake wa filamu ambao hakutaka kuwataja majina. Akiongea na DarTalk amesema, “Napenda sana kuimba muziki wa mahadhi ya mduara, mashabiki wangu wakae mkao wa kula muda si mrefu wimbo utaruka hewani”.

No comments: