Monday 3 August 2015

Diamond anyakuwa tuzo nyingine

Msanii Diamond Platnumz sasa ni kama wiki kadhaa zimepita baada ya kutuwakirisha vyema kwenye tuzo za MTV-Africa (MTVMAMA) zilizofanyika nchini Africa ya kusini na kuweza kunyakua tuzo ya mtumbuizaji bora "best performer" 2015.... Jana ameweza kutuwakierisha tena ipasavyo kwa kutuletea tuzo ya msanii bora anaependwa Afrika na pia kwa wimbo bora unaopendwa Afrika "NANA"...Tuzo izo zijulikanazo kama "Hollywood and African people choice awards" ambazo zitatolewa 12 September.

Diamond ni miongoni mwa wasanii wanojituma sana na kuweza kuitumia sanaa kwa kutuwakirisha vyema Tanzania na Afrika mashariki vile vile Afrika kwa ujumla... 

Big Up sana mtu mzima Diamond Platnumz kwa hilo....

No comments: