Tuesday 24 March 2015

Diamond Platnumz aamua kumjibu Jux

Baada ya kupita siku kadhaa baada ya mkali wa Rn'b, Juma 'Jux' kutupia mjengo wake wenye ghorofa moja na kuuweka mtandaoni "Instagram"
...Mnyama "Diamond Platnumz" nayeye aamua kutupia mjengo wake wa hatari kwenye mtandao na kuonesha wadau kuwa habahatishi kwa kile anachokifanya..


No comments: