Wednesday 11 December 2013

The Sporah Show yashinda tuzo ya kuwa kipindi bora cha "Out Standing Talk Show"

Kipindi maarufu cha "The Sporah Show" kinachofanywa na mwanadadashosti, Sporah Njau mwenye asili ya Kichaga kutoka nchini Tanzania mwenye makazi yake nchini Uingereza....ni moja ya vipindi vya "Out Standing Talk Show" kwa lugha ya kibongo "Kipindi cha mahojiano yanayofanywa kwa kusimama au kukaa chenye mazungumzo ya kawaida kuhusu maisha na mambo mengine ya kijamii" kilichopo huko Uingereza na kurushwa kupitia vituo mbalimbali vya luninga kama kwenye DSTV, GOTV na baadhi ya vituo vya luninga ambavyo ni maarufu, pia hupatikana kwenye mitandao kama "YouTube". Mara nyingi The Sporah Show huhoji mastaa na hata kwa wale ambao sio mastaa wa Afrika (Bongo) hususani wanaoenda UK au wanaoishi UK...

The Sporah Show imeweza kunyakua tuzo ya "THE OUT STANDING TALK SHOW" At The Tanzania Diaspora Achievement Awards In London At The Tanzania Convention, Trade and Investment Forum UK 2013.
Kwa kupitia ukurasa wake "The Sporah Show" wamepost picha ikimuonesha mwanadada Sporah akiwa na tuzo hiyo na kuandika maneno haya:

No comments:

Post a Comment