Hongera sana kaka Martin Johnson na mkeo kwa kutimiza mwaka mmoja wa ndoa yenu isiyo na migogoro wala mitafaruku ya namna yoyote ile...
#TeamKibongobongo tunawatakia mafanikio mema na baraka tele kwenye maisha yenu ya ndoa, muendeleze amani mliyonayo na upendo wa familia yenu..hakika mungu atawabariki, Ameen!!
No comments:
Post a Comment