
Hii ndiyo nyumba ya milele ya Albert Mangwea, katika
makaburi ya Kihonda mkoani Morogoro, pembeni ya
kaburi
alilozikwa marehem baba yaje mzazi.

wakazi wa Moro waliojitokeza nakukusanyika kumlaza
Ngwea ndani ya nyumba yake ya milele

M2TheP hakukubali kutomuaga mshikaji wake wa karibu,
Albert Mangwea, na kuamua kuja katika viwanja vya
Jamhuri mkoani Morogoro kum uaga mshkaji wake





Wakazi wa Morogoro wakiwa katika foleni kumuaga
marehem Albert Mangwea mchana wa leo
katika uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro

Foleni ya watu wakiingia uwanjani hapo

HAYA NI MATUKIO YA JANA KATIKA KUUPOKEA MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA UKITOKEA JIJINI DAR ES SALAAM
Gari zilizobeba baadhi ya waandishi na wasanii
Afande Sele alikuwepo pia
Gari aliyokuwepo P-Funk
No comments:
Post a Comment