Wednesday 27 March 2013

mafunzo ya muda mfupi kwa viongozi

Rais Jakaya Kikwete Afunga Mafunzo ya muda mfupi kwa viongozi yumo mbunge wa kigoma kaskazini-Chadema Zitto Kabwe,Mbunge wa Kinondoni-CCM Iddi Azani,mbunge wa kawe-Chadema Halima Mdee,Mbunge wa Biharamulo-CCM,Dk Athanas Mbassa,Mbunge wa Mtera Mh. Livingstone Lusinde na mbunge wa viti maalum Ester Bulaya


Baadhi ya Wabunge walikuwa wakichukua mafunzo ya muda mfupi kwa viongozi katika Kambi ya Mgambo kikosi cha 835 wilayani Handeni Mkoa wa Tanga.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja na waheshimiwa wabunge waliohitimu mafunzo maalumu ya JKT
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe, akiapa mbele ya kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Muhingo Rweyemamu, hayupo pichani, wakati wakimaliza mafunzo ya JKT, katika Kambi ya Mgambo kikosi cha 835 wilayani Handeni Mkoa wa Tanga. 

No comments:

Post a Comment