Tuesday 1 May 2012

DIAMOND ALIVYOPAGAWISHA MASHABIKI NDANI YA DAR LIVE

 
Jumapili ilikuwa ni siku ya kihistoria kwa msanii kinara wa tuzo za Kili 2012, 'Diamond Platinum'. Alifanya shoo ya kihistoria kwenye Uwanja wa Taifa wa burudani, Dar Live, uliyoko Mbagala jijini Dar es salaam kwa kwenda na helikopta, akiwa msanii wa kwanza nchini kufanya hivyo. Hapa anaonekana akiwa Uwanja wa Ndege Terminal One akielekea kwenye Helikopta tayari kwa safari
akisindikizwa na Rubani wake kuelekea kwenye helikopta
akitoa 'saluti; kabla ya ndege kupaa kuelekea
 kiwanja cha Dar Live, Mbagala
 
Diamond akisali kumuomba Mungu amfikishe salama
 
Helikopta ikiwa mita chache kutua, Diamond alisalimia 
mashabiki akiwa angani kwa kutumia 'Wireless Mic'
 
Uwanja wa Taifa wa Burudani Dar Live kwa juu
Platinum akitua katika uwanja wa Dar Live!
mashabiki wakionekana kupagawa kumuona Diamond
 
Diamond akiagana na rubani
 
Helikopta ikiondoka...
Diamond akiwa ndani ya Mercedes Benz baada ya kutua
 
Diamond akishuka kutoka kwenye gari tayari kwa shoo
Diamond ndani ya US Marine.
ilikuwa ni shoo iliyovunja rekodi ya idadi ya mashabiki
 ukilinganisha na shoo zilizowahi fanyika Dar Live
Diamond na dancers wake kazini..
Diamond akiwa na mzuka!
...hii ndivyo ilivyokuwa Dar Live!
dancers wa Diamond wakifanya vitu vyao
licha ya mvua kunyesha, mashabiki hawakukubali 
kuondoka bila kumuona Diamond!
PICHA NA HABARI KWA HISANI YA G5 CLICK

No comments:

Post a Comment