Wednesday 23 November 2011

AJALI YA LOLI UBUNGO MITAA YA RIVERSIDE

Katikati ni gari ndogo nyekundu iliyokandamizwa chini ya gari kubwa jeupe la mafuta. kuna mtu yuko hai bado hajatolewa. habari zinasema watu watatu wamekufa kati yao mama mjamzito ambaye kichwa na kiwiliwili vimetengana.
Wakijaribu kunasua mwili wa wahanga hao wa ajali na miili ya waliokufa katika ajalia hiyo. Kama inavyoonekana hali ilikuwa ni mbaya sana watu wakiagalia kilichotokea bila kuaminai lakini ndiyo hivyo tena.
Watu wakiangalia tukio hilo leo mchana maeneo ya Ubungo River Side jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment