




walikuwepo kuipa support vijana wa Simba Sport Club
a.k.a watoto wa msimbazi

na kocha wa Es Satif, Alain Geiger baada ya mechi kumalizika

walichopewa na simba cha 2-0

baada ya mechi kumalizika

Mashabiki wa simba wakishangilia kwa manjonjo

Hapa wadau wa msimbazi wakipata picha ya pamoja

Wachezaji wa simba wakishangilia baada ya game
kumalizika na kushinda goli 2-0 dhidi ya ES SATIF
ya Algeria.Al Satif itawalazimu kutafuta ushindi wa 3-0
iliwaweze kuvuka ngwe hiyo, kwenye mechi ya marudiano
itayochezwa huku Algeria baada ya wiki mbili zijazo.
"PICHA KWA HISANI YA MICHUZI BLOG NA THE CHOICE"
No comments:
Post a Comment